Shamrashamra za ubingwa kuanzia Kibaha



Kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba kitaondoka mkoani Morogoro kesho Jumatano saa 3:00 asubuhi

Simba inatarajiwa kufika Kibaha, Pwani saa 5:30 asubuhi ambako ndipo mapokezi kwa mashabiki wa Dar es Salaam yatakapoanzia.

Uongozi wa Simba umewaomba mashabiki wajitokeze kwa wingi kuwapokea mabingwa hao wa nchi


from sokoa news http://bit.ly/2Quxu9y
1

Post a Comment

0 Comments