Mabingwa wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL), Simba SC wamerejea nchini wakitokea Afrika Kusini alipokuwa wameweka kambi. Kikosi hicho kipo kwenye maandalizi ya mchezo wao watakaocheza kwenye tamasha la Simba Day.
from sokoa news https://ift.tt/2YAIHvJ
1
0 Comments