Mshambuliaji wa Manchester United na Chile Alexis Sanchez, 30, amekataa uhamisho wa kuelekea Roma, licha ya klabu hiyo ya Old Traford kukubali kulipa kitita kikubwa cha msharahara wake wa £560k kwa wiki.{Mirror)
from sokoa news https://ift.tt/31E8GjU
1

0 Comments