Simba Yamaliza Mazoezi ya Kuiangamiza Mtibwa Kesho

Kikosi cha Simba leo kimefanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao utapigwa kesho Ijumaa kwenye Uwanja wa Uhuru kuanzia saa 10:00 jioni.

 

 

The post Simba Yamaliza Mazoezi ya Kuiangamiza Mtibwa Kesho appeared first on Global Publishers.




from sokoa news https://ift.tt/2ZSrCim
1

Post a Comment

0 Comments