Tetesi za soka Ulaya Jumatano tarehe 13.11.2019: Mbappe, Ronaldo, Haaland, Napoli, Xhaka, Pellegrini, Matic

Real Madrid wanaangalia uwezekano wa kutoa malipo makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa ya pauni milioni £340 kwa ajili ya mchezaji wa safu ya mashambulio wa Paris St Germain Kylian Mbappe.


from sokoa news https://ift.tt/370rsFD
1

Post a Comment

0 Comments