Kagera Sugar yaendeleza ubabe kwa timu za Dar, yaitandika Yanga bila huruma

 Timu ya Kagera Sugar imefanikiwa kuibuka na ushindi kwa kuitandika Yanga 3-0 katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara katika dimba la Uhuru jijini Dar es Salaam.

FT': Yanga SC 0-3 Kagera Sugar.



from sokoa news https://ift.tt/2TtvB0f
1

Post a Comment

0 Comments