Paris St-Germain 'imekosa heshima' katika kusaka saini ya kiungo mchezeshaji wa Argentina Lionel Messi, 33, kulingana na rais wa Barcelona Joan Laporta, ambaye ametishia kuiripoti klabu hiyo ya Ligue 1 kwa Fifa. (Goal)
from sokoa news https://ift.tt/3ciNaK8
1

0 Comments