Tetesi za soka Ulaya Jumanne 09.03.2021: Mbappe, Haaland, Lacazette, Klopp, Cavani, Noble, Raphinha, Costa

Manchester City haitafuatilia mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Paris St-Germain Kylian Mbappe, 22, mwisho wa msimu huu kwasababu ya mahitaji ya mshahara ya mchezaji huyo


from sokoa news https://ift.tt/30rboL2
1

Post a Comment

0 Comments