Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 01.07.2021: Sancho, Rice, Kane, Sterling, Haaland, Mbappe

Huku makubaliano ya kumsaini winga wa Borussia Dortmund Jadon Sancho yakiafikiwa , kiungo wa kati wa West Ham Declan Rice ,22, beki wa Villareal mwenye umri wa miaka 24 Pau Torres na mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane 27 , ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mkufunzi wa Man United Ole Gunnar Solskjaer (Guardian)


from sokoa news https://ift.tt/3hmnGw7
1

Post a Comment

0 Comments