Paris St-Germain ipo katika mazungumzo yaliopiga hatua ili kumsajili beki wa Uhispania Sergio Ramos kupitia uhamisho wa bila malipo baada ya kandarasi ya mechezaji huyo mwenye umri wa miaka 35 kukamilika na klabu ya Real Madrid. (ESPN)
from sokoa news https://ift.tt/2TM66da
1
0 Comments