Droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya: Manchester City Kuvaana na PSG wakati Chelsea itajiuliza kwa Juventus.

Mabingwa wa Ligi ya Primia Manchester City watakutana na klabu mpya ya Lionel Messi Paris St-Germain katika awamu ya makundi ya ligi ya mabinwa.


from sokoa news https://ift.tt/3sSg7D1
1

Post a Comment

0 Comments