Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 28.08.2021:Mbappe, Richarlison, Haaland, Jesus, Cavani, Zouma, Witsel, Barkley

Paris St-Germain itajaribu kumsajili mshambuliaji wa Everton na Brazil Richarlison, 24, ikiwa watakubaliana kuhusu mpango wa kumuuza mshindi wa Kombe la Dunia wa Ufaransa Kylian Mbappe, 22, kwa Real Madrid


from sokoa news https://ift.tt/2WwYJb4
1

Post a Comment

0 Comments