Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 23.09.2021: Lacazette, De Ligt, Karius, Martinez, Rudiger, Asensio

Mshambuliaji wa Arsenal na Ufaransa Alexandre Lacazette, 30, hana hamu ya kusaini kandarasi mpya klabuni hapo. Mkataba wake wa sasa unamalizika mwishoni mwa msimu. (Le10 Sport - in French)


from sokoa news https://ift.tt/3kznyMJ
1

Post a Comment

0 Comments