Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 29.09.2021: Martial, Tielemans, McKennie, Danjuma, Onana, Diaz, Saint-Maximin,

Borussia Dortmund wanafikiria kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa na Manchester United Anthony Martial, 25, ikiwa mshambuliaji wa Norway Erling Haaland, 21, ataondoka katika klabu hiyo msimu wa joto. (Sport1 - in German)


from sokoa news https://ift.tt/3kR2KQW
1

Post a Comment

0 Comments