Borussia Dortmund wanafikiria kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa na Manchester United Anthony Martial, 25, ikiwa mshambuliaji wa Norway Erling Haaland, 21, ataondoka katika klabu hiyo msimu wa joto. (Sport1 - in German)
from sokoa news https://ift.tt/3kR2KQW
1

0 Comments