Hatua ya Liverpool kushindwa kumuuza winga wa Uswizi Xherdan Shaqiri, 29, au mshambuliaji wa Ubelgiji wa miaka 26- Divock Origi imewafanya wakose nafasi ya kumsajili mshambuliaji wa Patson Daka, 22, wa Zambia kutoka Red Bull Salzburg, kabla ajiunge na Leicester City. (Here We Go Podcast, via Express)
from sokoa news https://ift.tt/3jRTlbl
1

0 Comments