Mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe, 22, hatasaini mkataba mpya Paris St-Germain haijalishi klabu hiyo ya Ligue 1 itamlipa kiwango gani cha fedha kwani nyota huyo ameamua kuelekea Real Madrid. (AS - in Spanish)
from sokoa news https://ift.tt/3DSfAoV
1

0 Comments