Mabingwa wa Ufaransa, timu ya Paris Saint Germain imezindua rasmi kituo cha kufundishia soka kwa vijana nchini Rwanda, ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya miaka 3 ya kibiashara na kuinua sekta ya utalii nchini Rwanda.
from sokoa news https://ift.tt/32DNrEF
1

0 Comments