Afcon 2021: Cameroon yaishinda Burkina Faso 2-1 kabla ya Cape Verde kuizidi nguvu Ethiopia

Kipa wa Indomitable Lions Andre Onana aliokoa mabao mawili muhimu kipindi cha pili huku vijana wa Toni Conceicao wakifungua kampeni ya Kundi A kwa ushindi.


from sokoa news https://ift.tt/3zKkOSO
1

Post a Comment

0 Comments