Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 15.01.2021: Mbappe, Haaland, Vlahovic, Christensen, Henderson, Carroll

Kylian Mbappe, 23, anajadiliana na Paris St-Germain kuhusu mkataba mpya. Mshambuliaji huyo wa Ufaransa wa miaka 23, alitarajiwa kujiunga na Real Madrid kwa uhamisho wa bure wakati mkataba wake utakapokamilika mwisho wa msimu huu. (Telegraph - subscription required)


from sokoa news https://ift.tt/3tuS6UE
1

Post a Comment

0 Comments