Salah kuiongoza Misri dhidi ya Senegal ya Mane fainali ya Afcon baada ya kuilaza Cameroon

Kipa Gabaski ndiye aliyekuwa shujaa , baada ya kuokoa mikwaju miwili ya penalti na kuisaidia Misri kuwaondoa katika michuano hiyo wenyeji Cameroon katika mechi ilioamuliwa na mikwaju ya penalti kufuatia sare ya bila kwa bila


from sokoa news https://ift.tt/1bcyTNZ
1

Post a Comment

0 Comments