Mkufunzi wa Borussia Dortmund Marco Rose anasema mazungumzo ya "kweli" yanafanyika na mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 akiamua la kufanya kuhusu mustakabali wake. (Bild, via Mirror)
from sokoa news https://ift.tt/tzq5edK
1

0 Comments