Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 11.02.2022:Ronaldo, Rice, Mane, Kessie, Tielemans, Saka

Mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo, 37, anapanga mazungumzo na wakala wake kuhusu mustakabali wake wa Manchester United baada ya kukatishwa tamaa na maisha huko Old Trafford. (Star)


from sokoa news https://ift.tt/jzRBLgq
1

Post a Comment

0 Comments