KCB yamuwania kinda Simba



Mshambuliaji wa Simba Moses Kitandu aliyekuwa akicheza kwa mkopo klabu ya Coastal Union, anawaniwa na klabu ya KCB ya Kenya, imefahamika

Kinda huyo amekuwa akiwinda na KCB tangu msimu uliopita

Kitandu alipandishwa kutoka kikosi cha pili ncha Simba kabla ya msimu uliopita kutolewa kwa mkopo

Mwenyewe amesema hana pingamizi kujiunga na timu hiyo kama makubaliano yatafikiwa


from sokoa news http://bit.ly/2wMobsI
1

Post a Comment

0 Comments