Mechi za marudio playoff kupigwa leo



Michezo ya marudiano ya 'playoff' inatarajiwa kupigwa leo ambapo Kagera Sugar itarudiana na Pamba Fc mkoani Kagera wakati Mwadui Fc itaumana na Geita Gold mkoani Shinyanga

Michezo yote ya kwanza ilimalizika kwa suluhu ya bila kufungana

Ili kuepuka hujuma,michezo yote itarushwa mbashara na Azam Tv



from sokoa news http://bit.ly/2wIvO3b
1

Post a Comment

0 Comments