Wanne Simba wapenya kikosi cha nyota 23 Stars



Kikosi cha wachezaji 23 kitakachoshiriki fainali za AFCON 2019 zinazoanza wiki ijayo huko Misri kimefahamika

Kocha wa Stars Emmanuel Amunike amefanya mchujo wa kuchagua wachezaji 23 kutoka kikosi cha wachezaji 32 kilichoweka kambi Misri

Aishi Manula, John Bocco, Mohammed Hussein na John Bocco ni miongoni mwa wachezaji waliojumuishwa kwenye kikosi hicho ambacho kesho kitacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri





from sokoa news http://bit.ly/2WI0Bws
1

Post a Comment

0 Comments