Nicolas Pepe: Arsenal imeingia makubaliano ya dau la £72m kumnunua winga matata wa Lille

Arsenal wameafikia makubaliano na klabu ya Ufaransa ya Lille kumsaini winga wa Ivory Coast Nicolas Pepe katika makubaliano yenye thamani ya £72m.


from sokoa news https://ift.tt/2Y4TFtY
1

Post a Comment

0 Comments