Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (UVCCM), Kheri James amesema kuwa chama cha ccm ni imara na madhubuti na kikotayari kuifanya kazi ya kuwatumikia watanzania na kujenga ustawi wa taifa letu na kazi hiyo kimeifanya tangu uhuru na kinaifanya sasa na kitaendelea kuifanya mpaka milele ambapo amesema kuwa kama kuna mbinu mia moja ya kutawala mpaka sasa ccm imetumia mbinu tatu bado mbinu tisini na saba, na kinyago tulichokiconga wenyewe kamwe hakiwezi kututisha.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE
from sokoa news https://ift.tt/2Yref37
1
0 Comments