Basi la kampuni ya Hood lapata ajali

Basi la kampuni ya Hood lenye namba T 779 AVL lililokuwa likitokea mkoani Arusha kuelekea Mbeya limepata ajali katika kijiji cha Uchira wilayani Moshi.

Ajali hiyo imetokea majira ya saa 1:30 asubuhi na abiria wote wako salama.





from sokoa news https://ift.tt/336RpRP
1

Post a Comment

0 Comments