Tetesi za sola Ulaya Jumapili 04.08.2019: Coutinho, Sane, Pogba, Fernandes, Neres, Van de Beek, Neymar, Coutinho

Arsenal wanatarajiwa kuanzisha mazungumzo na Barcelona kuhusu kumsajili kiungo wa kati wa Brazil Phillipe Coutinho 27 hatua ambayo itaigharimu klabu hiyo dau la £27m. (Sun on Sunday)


from sokoa news https://ift.tt/2ODC7Rk
1

Post a Comment

0 Comments