Papa Bouba Diop: Senegal yamuomboleza shujaa

Shujaa wa soka Senegal Papa Bouba Diop, aliyefariki nchini ufaransa juma lililopita akiwa na miaka 42, anazikwa kifamilia mahali alipozaliwa karibu na mji wa Dakar.


from sokoa news https://ift.tt/39KQ5dd
1

Post a Comment

0 Comments