Ushindi wa bao 1-0 ambao Simba iliupata katika Uwanja wa Benjamin Mkapa dhidi ya Al Ahly, Jumatano hii, ni wazi kwamba umeiweka klabu hiyo katika nafasi nzuri ya kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.
from sokoa news https://ift.tt/2NCjduw
1

0 Comments