Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 25.02.2021: Haaland, Kounde, Henderson, Abraham, Haaland, Aarons, Mata

Manchester City inafikiria kutoa zaidi ya £100m kuwanunua mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland, 20, na kiungo wa kati wa Marekani Giovanni Reyna, 18, mwisho wa dirisha la uhamisho . (90min)


from sokoa news https://ift.tt/2Pa0kQ5
1

Post a Comment

0 Comments