Klabu ya Everton ipo kwenye mazungumzo na klabu ya Juventus kumsajili mshambuliaji wa klabu hiyo ya Italia Moise Kean.
Kean ambaye ana miaka 19 inasemekana ana thamani ya kiasi cha €40M (£36M) na klabu hiyo ya Juventus inataka kipengele cha kumnunua tena kijumuishwe kwenye dili hilo.
from sokoa news https://ift.tt/32XKaeO
1


0 Comments