Tetesi za soka Ulaya Jumanne 22.12.2020: Alaba, Stones, Salah, Gomez, Digne, Rojo, Jones

Beki wa Bayern Munich na Austria David Alaba amekataa kutia saini kandarasi mpya na mbingwa hao wa Ulaya na anaweza kuanza mazungumzo na klabu nyengine mwezi Januari.


from sokoa news https://ift.tt/2WDYVS8
1

Post a Comment

0 Comments