Mshambuliaji wa Norway na Borussia Dortmund Erling Braut Haaland, 21, hana nia ya kuharakisha uamuzi kuhusu hatma yake ya baadaye wakati kifungu cha kumwezesha kuondoka kitaanza kutekelezwa mwaka 2022. (90 Min)
from sokoa news https://ift.tt/3k1oauk
1

0 Comments