Mjerumani huyo mwenye umri wa miaka 63 anatarajiwa kujiunga na United lakini hataiongoza timu hiyo katika mchezo wa mwishoni mwa wiki dhidi ya Chelsea, wakati huu akisubiri kibali chake cha kazi.
from sokoa news https://ift.tt/3nSP5KP
1
BongoFleva's fierce Ommy Dimpoz has come back to be bothered by a long illness.…
Read more
0 Comments